Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 17:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Kisha, Abusaloma akasema: “Mumwite Husayi vilevile, yule mutu wa inchi ya Arki, tusikie neno analotaka kusema.”

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 17:5
6 Referans Kwoze  

Shauri hilo la Ahitofeli lilimupendeza Abusaloma na wazee wote wa Israeli.


Husayi alipofika kwa Abusaloma, Abusaloma alimwuliza: “Hivyo ndivyo Ahitofeli alivyosema. Tufanye kama vile alivyotushauria? Kama sivyo, basi, utuambie shauri lako.”


Wakati ule, Daudi aliambiwa kwamba hata Ahitofeli alikuwa mumoja wa waasi waliojiunga na Abusaloma. Lakini Daudi akaomba akisema: “Ee Yawe, ninakuomba uyafanye mashauri ya Ahitofeli yasifanikiwe.”


Basi, akawauliza: “Ninyi munatoa shauri gani kusudi tuweze kuwajibu watu hawa walioniambia niwapunguzie muzigo ambao baba yangu aliwabebesha?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite