Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 17:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 na kuwarudisha watu wengine wote kwako kama bibi arusi anavyorudi katika nyumba ya mume wake. Wewe unayatafuta maisha ya mutu mumoja tu na watu wengine watakuwa na amani.”

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 17:3
6 Referans Kwoze  

Watu watakapokuwa wakisema: “Kuna amani na usalama”, ndio wakati uharibifu utakapowapata kwa rafla kama vile maumivu ya kuzaa yanavyomupata mwanamuke mwenye mimba, wala hawataweza kuponyoka.


Mungu wangu anasema hivi: Hakuna amani kwa watu waovu.


Lakini Yawe anasema hivi: Hakuna amani kwa watu waovu.


Abeneri akamwambia Daudi: “Mimi sasa nitakwenda na kukuletea watu wote wa Israeli, wewe bwana wangu mufalme. Watakuja na kufanya agano nawe, kusudi ukuwe mufalme wao, nawe utawatawala wote kama unavyopenda.” Daudi akamwaga Abeneri aende zake, naye akaondoka kwa amani.


Shauri hilo la Ahitofeli lilimupendeza Abusaloma na wazee wote wa Israeli.


Wanatunza vidonda vya watu wangu juujuu, wakisema: “Kuna amani, kuna amani”, ingawa hakuna amani yoyote!


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite