Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 17:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Kisha akasema, “Mupelekee Daudi habari upesi kwamba asilale usiku kwenye vivuko katika jangwa, lakini lazima avuke muto Yordani kusudi asikamatwe na kuuawa, yeye pamoja na watu wake wote.”

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 17:16
14 Referans Kwoze  

Lakini nitakuwa nikingojea penye vivuko huku katika mbuga, mpaka nitakapopata habari kutoka kwako.”


Hakika kwa wakati wowote tungali tunaishi katika makao haya ya dunia, tunaugua kwa kulemewa. Si kwa sababu tunataka kuondolewa mwili wa dunia, lakini tunataka kuvaa mwili wa mbinguni, kusudi uzima wa milele upate kubadilisha miili yetu inayokuwa ya kufa.


Na wakati mwili huu wa kuharibika utakapovaa ule wa kutoharibika, nao mwili wa kufa utakapovaa ule wa kutokufa, halafu Maandiko Matakatifu haya yatatimia: “Kifo kimekomeshwa; kimeshindwa kabisa.”


Ninamulilia Mungu Mukubwa, Mungu anayenikamilishia nia yake.


Ee Mungu, unionee huruma, maana watu wananishambulia. Muchana kutwa waadui wananitesa.


ningesafiri mbali sana, ningepata makao katika jangwa,


Usiwaache waseme: “Tumefanikiwa sawa tulivyotaka!” au waseme: “Tumemumaliza huyu!”


Basi, Daudi akawaambia watumishi wake waliokuwa naye Yerusalema: “Musimame tukimbie, kama sivyo, hatutaweza kumuponyoka Abusaloma. Tufanye haraka kuondoka kusudi asituletee hasara na kuuangamiza muji kwa upanga.”


Fanya haraka na usisimame tu pahali pale.” Yule kijana alikusanya mishale na kumwendea bwana wake.


Makuhani Zadoki na Abiatari wako pamoja nawe katika muji. Basi, chochote utakachosikia kutoka katika nyumba ya mufalme, uwaambie makuhani Zadoki na Abiatari.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite