Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 16:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Simei alimulaani Daudi akisema: “Kwenda! Kwenda, wewe mwuaji, mutu wa ovyoovyo!

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 16:7
16 Referans Kwoze  

Unirudishie furaha ya wokovu wako, uniimarishe kwa Roho wako mwema.


Wewe haupendi kuwaona wenye majivuno; wewe unawachukia wote wanaotenda maovu.


Wale watenda maovu wawili wakaikaa kwa kumushuhudia Naboti, kisha wakamushitaki mbele ya watu wote wakisema: “Naboti amemutukana Mungu na mufalme.” Basi, Naboti akapelekwa inje ya muji, akauawa kwa kutupiwa mawe.


Kisha, mutafute watenda maovu wawili wapate kumushuhudia na kumushitaki wakisema: ‘Wewe umemutukana Mungu na mufalme.’ Kisha mumupeleke inje, mumwue kwa kumutupia mawe!”


Kwa nini basi, umezarau neno langu mimi Yawe na kufanya uovu huu mbele yangu? Umemwua Uria wa Hiti kwa upanga, ukamukamata muke wake kuwa muke wako. Umewatumia Waamoni kwa kumwua Uria katika vita!


Kwa hiyo, siku ile, Waisraeli wote walielewa kwamba haikukuwa nia ya mufalme Daudi kumwua Abeneri mwana wa Neri.


Sasa ufikiri juu ya jambo hili na uamue la kufanya. Jambo hili linaweza kuleta hasara kwa bwana wetu na jamaa yake yote. Yeye ni mutu mubaya na hakuna anayeweza kusema naye.”


Wana wa Eli walikuwa wapotovu sana. Hawakumujali Yawe


“Mutakapoishi katika miji ambayo Yawe, Mungu wenu anawapa, labda mutasikia


Akakuwa anamutupia mufalme Daudi pamoja na watumishi wake mawe ingawa watu wengine wote na mashujaa walikuwa wakimuzunguka Daudi upande wa kuume na wa kushoto.


Maana, mimi mutumishi wako ninajua kwamba nilitenda zambi. Hii ndiyo sababu nimekuja leo, nikiwa wa kwanza katika kabila la Yosefu kuja kukupokea wewe bwana wangu, mufalme.”


Sasa ilitokea kwamba kule Gilgali kulikuwa mutu mumoja wa ovyoovyo anayeitwa Seba mwana wa Bikiri, wa kabila la Benjamina. Basi Seba alipiga baragumu, na kusema: “Hatuna ushirika wowote na Daudi; hatuna sehemu yetu katika huyo mwana wa Yese. Enyi watu wa Israeli, kila mumoja ajiendee katika hema yake!”


Unisikilize na kunijibu; nimechoka na malalamiko yangu.


Ee Yawe, angalia ginsi waadui zangu wanavyokuwa wengi. Ni wengi sana hao wanaonishambulia.


Nina hofu kwa ajili ya vitisho vya waadui zangu, na kwa kuteswa na watu waovu. Watu waovu wananitaabisha, kwa hasira wananishambulia.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite