Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 16:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Akakuwa anamutupia mufalme Daudi pamoja na watumishi wake mawe ingawa watu wengine wote na mashujaa walikuwa wakimuzunguka Daudi upande wa kuume na wa kushoto.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 16:6
3 Referans Kwoze  

Wakati Daudi alipofika kule Bahurimu, kulitokea mutu mumoja wa ukoo wa Saulo, jina lake Simei mwana wa Gera, akaanza kumulaani Daudi kwa mufululizo.


Simei alimulaani Daudi akisema: “Kwenda! Kwenda, wewe mwuaji, mutu wa ovyoovyo!


Basi, wakavuka kwenye kivuko kwa kuisindikiza jamaa ya mufalme na kumufanyia mufalme yote aliyoyapenda. Simei mwana wa Gera akakuja, akajitupa mbele ya mufalme, akainama uso mpaka chini, wakati mufalme alipokuwa karibu kuvuka muto Yordani.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite