Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 16:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Kwa hiyo, mufalme Daudi na watu wake wakaendelea na safari, naye Simei akiwa anamufuata akimutupia mawe na kurusha mavumbi juu ya mufalme Daudi. Simei alikuwa akitembea kwenye kilele cha mulima, akielekea mufalme Daudi.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 16:13
5 Referans Kwoze  

Kisha jemadari akawaita wakubwa wawili wa waaskari wake, akawaambia: “Mutayarishe waaskari mia mbili, waaskari wapanda-farasi makumi saba, na waaskari wapiga mikuki mia mbili kwa kwenda Kaisaria saa tatu ya usiku.


Wakalalamika sana, wakatupatupa nguo zao na kurusha mavumbi juu.


Labda Yawe ataangalia mateso yangu, naye atanilipa wema kwa laana hii ninayopata leo.”


Kisha mufalme pamoja na watu wote waliokuwa pamoja naye, wakafika kwenye muto wakiwa wamechoka. Basi wakapumzika.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite