Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 15:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Mufalme akamwambia: “Basi, kwenda kwa amani.” Abusaloma akaondoka kwenda Hebroni.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 15:9
5 Referans Kwoze  

Maana, mimi mutumishi wako, nilipoishi kule Gesuri katika inchi ya Aramu, nilimufanyia Yawe kiapo nikisema kama Yawe akinirudisha Yerusalema basi, nitamwabudu yeye.”


Lakini Abusaloma alituma wajumbe kwa siri katika makabila yote ya Waisraeli, wakasema: “Mara moja mutakaposikia mulio wa baragumu, museme: ‘Abusaloma ni mufalme katika Hebroni!’ ”


Halafu kutoka Eguloni Yoshua na Waisraeli wote wakaenda mpaka Hebroni, wakaushambulia


Halafu Eli akamwambia: “Kwenda kwa amani; naye Mungu wa Israeli akupe kile ulichomwomba.”


Kisha, Daudi akapokea vitu vyote ambavyo Abigaili alikuwa amemuletea, akamwambia Abigaili: “Rudi kwako na amani. Mimi nimeyasikia uliyosema, na ombi lako nimelipokea.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite