Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 15:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Nyuma ya miaka mine, Abusaloma alimwambia mufalme: “Tafazali, uniruhusu niende kule Hebroni kwa kutimiza kiapo changu ambacho nilimwekea Yawe.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 15:7
10 Referans Kwoze  

Munafunga kula lakini munagombana na kupigana mangumi vikali. Mukifunga namna hiyo, maombi yenu hayatafika kwangu juu.


“Ole kwenu, ninyi walimu wa Sheria na Wafarisayo, ninyi wanafiki! Munawafungia watu wengine njia ya kuingia katika Ufalme wa mbinguni. Ninyi wenyewe hamwingii mule na zaidi ya hii munawazuiza wale wanaotaka kuingia. [


Kisha akawatuma Betelehemu, akiwaambia: “Mwende mupeleleze habari kamili za mutoto yule. Nanyi mutakapomwona munijulishe kusudi mimi vilevile niende kumwabudu.”


Sadaka ya mwovu ni kitu cha kuchukiza sana. Inachukiza zaidi akiitoa kwa nia mbaya.


Abusaloma alikimbilia Gesuri, akakaa kule kwa muda wa miaka mitatu.


Samweli akatwaa pembe lake lenye mafuta akamupakaa Daudi mafuta mbele ya kaka zake. Mara moja roho wa Yawe akamushika Daudi kwa nguvu na kuwa naye tangu siku hiyo. Kisha Samweli akarudi katika muji wa Rama.


Wana ambao wake wa Daudi walimuzalia kule Hebroni walikuwa: Amunoni muzaliwa wake wa kwanza, mama yake aliitwa Ahinoamu wa muji wa Yezereheli;


Kiliabu muzaliwa wake wa pili, mama yake alikuwa Abigaili mujane wa Nabali wa muji wa Karmeli; Abusaloma muzaliwa wake wa tatu, mama yake alikuwa Maka binti ya Talmayi mufalme wa Gesuri;


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite