Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 15:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Tena, Abusaloma alimwambia: “Ingekuwa heri mimi ningekuwa mwamuzi wa Waisraeli! Kila mutu mwenye mashitaki au shauri angekuja kwangu, nami ningemupa haki yake!”

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 15:4
7 Referans Kwoze  

Kama watu hawa wangekuwa chini yangu, ningemwondoa Abimeleki. Ningemwambia Abimeleki: ‘Ongeza jeshi lako, kisha, ukuje mbele ya watu wote tupigane.’ ”


Wanawaahidi watu wengine kwamba watakuwa huru ijapokuwa wao wenyewe ni watumwa wa upotovu. Kwa maana kila mutu ni mutumwa wa jambo lolote linalomutawala.


Acha watu wengine wakusifu, kuliko kujisifu kwa mudomo wako wewe mwenyewe.


Usijipendekeze kwa mufalme, wala usijifanye mutu mukubwa,


Zaidi ya hayo, Abusaloma alinyoosha mukono wake akamukumbatia na kumubusu mutu yeyote aliyekuja kuinama mbele yake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite