Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 15:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Mujumbe mumoja akamwendea Daudi na kumwambia: “Watu wa Israeli wamevutwa na Abusaloma!”

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 15:13
7 Referans Kwoze  

Wandugu za mama yake wakatangaza maneno popote kule Sekemu kwa jina lake, na watu wote wa Sekemu wakaamua kumufuata maana alikuwa ndugu yao.


Pilato akawauliza tena: “Basi munataka nifanye nini na huyu Yesu anayeitwa Kristo?” Nao wote wakajibu: “Atundikwe juu ya musalaba!”


Basi, hivi ndivyo Abusaloma alivyowatendea Waisraeli wote waliokuja kutafuta uamuzi wa mufalme. Kwa kufanya hivyo, Abusaloma aliiteka mioyo ya Waisraeli.


Nalo kundi la watu waliomutangulia Yesu na lile la watu waliofuata nyuma yake, wakaanza kulalamika, wakisema: “Usifiwe wewe Mwana wa Daudi! Abarikiwe huyu anayekuja kwa jina la Bwana! Mungu asifiwe juu mbinguni!”


Enyi watu, mutumainie Mungu siku zote; mumufungulie yanayokuwa ndani ya moyo wenu. Yeye ndiye kimbilio letu.


Watu wote waliyaona mambo hayo, nao walipendezwa; kama vile kila kitu mufalme alichofanya kilivyowapendeza.


Zaburi ya Daudi. Inaelekea wakati alipomukimbia mwana wake Abusaloma.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite