Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 14:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Mufalme akamwambia: “Una shida gani?” Yule mwanamuke akajibu: “Ninasikitika, mimi ni mujane, mume wangu amekufa.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 14:5
6 Referans Kwoze  

Mungu akamusikia mutoto yule akilia, na malaika wa Mungu akamwita Hagari kutoka mbinguni, akamwambia: “Una shida gani Hagari? Usiogope. Mungu amesikia sauti ya mutoto kule anapokuwa.


Huyo mwanamuke kutoka Tekoa akaenda kwa mufalme, akainama uso mpaka chini mbele ya mufalme, akamwambia: “Ee mufalme, unisaidie.”


Nilikuwa na watoto wanaume wawili. Siku moja, walipokuwa katika mbuga, walianza kugombana. Kwa vile hakukukuwa mutu yeyote wa kuwaamua, mumoja wao akamwua mwenzake.


Basi, Tamari akarudi kwa nyumba akavua kile kitambaa alichojifunika, akavaa tena nguo zake za ujane.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite