Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 14:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Yoabu mwana wa Zeruya alitambua kwamba moyo wa Daudi ulikuwa unamwelekea Abusaloma tu.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 14:1
8 Referans Kwoze  

Nyuma ya mufalme Daudi kutulia kutokana na kifo cha Amunoni, alianza kutamani kumwona mwana wake Abusaloma.


Wana watatu wa Zeruya, Yoabu, Abisayi na Asaeli walikuwa pale pale. Asaeli alikuwa na mbio kama paa.


Wengi wanapenda kujipendekeza kwa mutawala, lakini mutu anapata haki yake kwa Yawe.


Wadada zao walikuwa Zeruya na Abigaili. Wana wa Zeruya walikuwa watatu: Abisai, Yoabu na Asaheli.


Kwa hiyo, siku hiyo, watu waliingia katika muji kimyakimya kama watu wanaorudi katika muji wakipata haya kwa kukimbia vita.


Yoabu alipata habari kwamba mufalme alikuwa akilia na kuomboleza juu ya kifo cha Abusaloma.


Kwa hiyo alituma watu kule Tekoa kusudi wamutafutie mwanamuke mwenye hekima. Walipomuleta, akamwambia: “Ujifanye sawa vile mwenye kuwa na kilio. Vaa nguo za kilio, usijipakae mafuta, lakini ujifanye kama mwanamuke ambaye amekuwa katika kilio kwa muda murefu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite