Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 13:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Kwa hiyo, Amunoni akaendelea kulala katika kitanda, akijifanya kuwa mugonjwa. Mufalme alipokwenda kumwona, Amunoni alimwambia: “Ninakuomba, Tamari akuje hapa anitengenezee mikate michache mbele yangu. Halafu yeye mwenyewe anikulishe.”

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 13:6
4 Referans Kwoze  

Abrahamu akarudi haraka ndani ya hema akamwambia Sara: “Tayarisha haraka vipimo vitatu vya unga bora, uuponde, uchome mikate.”


Yesu akawaambia tena mufano mwingine, akisema: “Ufalme wa mbinguni unafanana na chachu mwanamuke mumoja aliyoitwaa na kuichanga na vipimo vitatu vya unga kwa kuponda mikate hata yote ikapata kuvimba.”


Yonadabu akamwambia: “Wewe ujilalishe katika kitanda na ujifanye kuwa mugonjwa. Baba yako atakapokuja kukuona, wewe umusihi ukisema: ‘Umuruhusu dada yangu, Tamari, akuje aniletee mukate nipate kula na anitayarishie chakula mbele yangu kusudi nikione naye mwenyewe anikulishe.’ ”


Halafu, Daudi alipeleka ujumbe kwa Tamari kwamba aende kwa kaka yake Amunoni, amutengenezee chakula.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite