Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 13:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Kwa upande wangu, siwezi kuvumilia haya hiyo. Na kwa upande wako, utakuwa mumoja wa wapumbafu wa Israeli. Basi, mimi ninakusihi uzungumuze na mufalme maana hatakukataza kunioa.”

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 13:13
4 Referans Kwoze  

Ningali na binti yangu ambaye ni bikira na kuna vilevile yule habara wa mugeni wangu. Muniruhusu niwatoshe inje, muwakamate na kuwatendea kama munavyotamani, lakini mutu huyu musimutendee jambo hilo la kipumbafu.”


Zaidi ya hayo, kwa kweli, yeye ni dada yangu: baba yake na baba yangu ni mumoja, lakini mama tofauti; ndiyo maana aliweza kuwa muke wangu.


Angalia, nina wabinti wawili ambao bado hawajalala na mwanaume. Muniruhusu niwape hao wabinti muwatendee kama vile munavyopenda. Lakini musiwatendee lolote wanaume hawa kwa sababu ni wageni wangu.”


watamupeleka kwenye mulango wa nyumba ya baba yake na wanaume wa muji huo watamupiga mawe akufe, kwa sababu amefanya upumbafu katika Israeli kwa kufanya ukahaba akiwa katika nyumba ya baba yake. Ndivyo mutakavyokomesha uovu huo kati yenu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite