Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 13:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Kisha, Amunoni akamwambia Tamari: “Sasa uniletee mikate ile ndani ya chumba changu, halafu unikulishe.” Tamari alitwaa mikate aliyoitayarisha na kuipeleka ndani ya chumba cha kaka yake Amunoni.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 13:10
2 Referans Kwoze  

Mikate hiyo ilipokuwa tayari, Tamari akaiopoa kutoka kikaango. Akamupelekea Amunoni, lakini Amunoni alikataa kula, akaamuru kwamba watu wote watoke inje, na wote wakaondoka.


Hapo, alipokuwa anamupatia mikate ile, Amunoni alimukamata na kumwambia: “Kuja ulale nami.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite