Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 12:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Lakini sasa amekufa, kwa nini nifunge? Mimi ninaweza kumurudisha katika dunia? Siku moja, nitakwenda kule alikokwenda, lakini yeye hawezi kurudi kwangu.”

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 12:23
6 Referans Kwoze  

Watoto wake wanaume na wanawake wakamufikia kwa kumufariji, lakini akakataa kufarijiwa, akisema: “Uniache. Nitaendelea kuomboleza kwa ajili ya mwana wangu, mpaka nitakaposhuka katika kaburi.” Ndivyo baba yake alivyomulilia.


Yesu akamujibu: “Kweli ninakuambia wewe: leo hii utakuwa pamoja nami katika Paradizo.”


Kweli! Ninajua utanipeleka tu katika kifo, pahali wote wanaoishi watakapokutana.


mbele ya kwenda kule ambako sitarudi, kule kwenye inchi ya huzuni na giza kubwa;


“Mwana wangu, kama inavyokuwa kawaida kwa viumbe vyote kufa, siku zangu zimekwisha. Ukuwe imara na hodari.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite