Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 12:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Wewe ulifanya jambo hilo kwa siri, lakini mimi nitayafanya hayo mbele ya Waisraeli wote waziwazi.’ ”

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 12:12
7 Referans Kwoze  

Kwa hiyo, watu wakamupigia Abusaloma hema kwenye paa, naye akalala na wahabara za baba yake, watu wote wa Israeli wakiwa wanaona.


Kwa hiyo musihukumu mutu mbele ya wakati uliopangwa; mungojee mpaka Bwana atakaporudia. Yeye ndiye atakayeonyesha wazi katika mwangaza mambo yote yaliyofichwa katika giza na kufunua nia za siri za watu. Halafu kila mutu atapokea sifa anayostahili toka kwa Mungu.


Maana, Mungu atahukumu matendo yote, hata yale yanayotendwa kwa siri, yakuwe mazuri au mabaya.


basi, muke wangu amupikie mume mwingine, na wanaume wengine walale naye.


Hakuna weusi wala giza kubwa ambamo watenda maovu wanaweza kujificha.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite