Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 11:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Basi, Daudi akamutumia Yoabu ujumbe: “Umutume Uria wa Hiti kwangu.” Naye Yoabu akamutuma Uria kwa Daudi.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 11:6
12 Referans Kwoze  

Anayeficha makosa yake hatafanikiwa, lakini anayeungama na kuyaacha atahurumiwa.


Halafu Petro akaanza kusema: “Nilaaniwe ikiwa ninasema uongo! Ninaapa kwamba simujui mutu huyu!” Na mara moja jogoo akawika,


Lakini Petro akakana tena akaapa akisema: “Ninaapa ya kuwa simujui mutu huyu!”


Lakini akakana mbele ya wote waliokuwa pale, akisema: “Sijui maneno unayotaka kusema.”


Bwana anasema: Watu hawa wanakuja kuniabudu kwa maneno tu, lakini mioyo yao iko mbali nami. Wananiheshimu kulingana na desturi ya watu tu, jambo walilojifunza wao wenyewe.


Saulo akajibu: “Nimefanya zambi. Hata hivyo, uniheshimishe sasa mbele ya wazee wa watu wangu na Waisraeli. Uniruhusu nirudi pamoja nawe kusudi nimwabudu Yawe, Mungu wako.”


Ukitenda vyema hautakubaliwa? Na usipotenda vyema, basi, zambi inajificha kwa mulango; inakutamani, lakini unapaswa kuishinda.”


Mwanamuke yule akapata mimba, naye akatuma habari kwa Daudi kwamba yuko na mimba yake.


Uria alipofika kwake, Daudi alimwuliza habari za Yoabu, watu wote, na hali ya vita.


na Uria wa inchi ya Wahiti. Wote pamoja walikuwa mashujaa makumi tatu na saba.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite