Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 1:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 yeye aliniuliza mimi ni nani, nami nikamwambia kwamba mimi ni Mwamaleki.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 1:8
12 Referans Kwoze  

Daudi aliwapiga tangu asubui mpaka siku ya pili magaribi. Hakuna mwanaume yeyote aliyeponyoka isipokuwa vijana mia ine ambao walipanda juu ya ngamia na kukimbia.


Daudi akamwuliza: “Bwana wako ni nani? Na umetoka wapi?” Yeye akamwambia: “Mimi ni kijana Mumisri. Ni mutumishi wa Mwamaleki mumoja. Bwana wangu aliniacha nyuma siku tatu zilizopita kwa maana nilikuwa mugonjwa.


Kisha siku tatu, Daudi na watu wake wakarudi Ziklagi. Waamaleki walikuwa wamekwisha kushambulia Negebu pamoja na muji wa Ziklagi na kuuteketeza kwa moto.


Sasa, uende kushambulia na kuangamiza vitu vyote wanavyokuwa navyo. Usiwaache wazima, lakini uwaue wote: wanaume kwa wanawake, watoto wachanga na wenye kunyonya, ngombe, kondoo, ngamia na punda.’ ”


Katika muda huo, Daudi na watu wake waliwashambulia Wagesuri, Wagirzi na Waamaleki, ambao walikuwa wenyeji wa inchi hiyo tangu zamani. Aliwashambulia katika inchi yao mpaka Suri, hata kwa mupaka na Misri.


Kisha Balamu akawaangalia Waamaleki, akatoa mashairi haya: Amaleki ni taifa lenye nguvu kuliko yote, lakini kwa mwisho litaangamia kabisa.


Kisha wakarudi nyuma mpaka Enimisipati ni kusema Kadesi, wakapiga inchi yote ya Waamaleki, na kuwashinda Waamori waliokaa Hasasoni-Tamari.


Saulo alipoangalia nyuma, aliniona, akaniita. Nilipoitika,


Kwa hiyo, akaniambia: ‘Sogea karibu uniue maana nimeumizwa vibaya na maumivu ni makali. Lakini ningali bado muzima’.


Daudi akamwuliza yule kijana aliyemupasha habari: “Unatoka wapi?” Yeye akajibu: “Mimi ni Mwamaleki, lakini ninaishi katika inchi yako kama mugeni.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite