Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 1:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Saulo alipoangalia nyuma, aliniona, akaniita. Nilipoitika,

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 1:7
7 Referans Kwoze  

Yawe anasema; Nilikuwa tayari kujionyesha kwao wasiouliza habari zangu. Nilikuwa tayari kuwapokea wale wasionitafuta. Nililiambia taifa ambalo halikuomba kwa jina langu: Niko hapa! Niko hapa!


Kisha nikamusikia Yawe akisema: Nimutume nani? Ni nani atakayekuwa mujumbe wetu? Nami nikajibu: Niko hapa! Unitume mimi.


Basi, Mefiboseti mwana wa Yonatani na mujukuu wa Saulo akaenda kwa mufalme Daudi, akainama uso mpaka chini mbele ya mufalme Daudi. Daudi akamwita: “Mefiboseti!” Naye akamujibu: “Ndiyo! Mimi mutumishi wako niko hapa.”


Saulo akasema: “Sasa sikiliza wewe mwana wa Ahitubu.” Ahimeleki akamujibu: “Ndiyo, bwana.”


Kisha Abimeleki akamwita haraka kijana wake aliyemubebea silaha akamwambia: “Twaa upanga wako uniue, watu wasipate kusema kwamba niliuawa na mwanamuke.” Kijana akatwaa upanga wake, akamuchoma na kumwua.


Yule kijana akamujibu: “Kwa bahati, nilikuwa juu ya mulima Gilboa. Nilimwona Saulo akiegemea mukuki wake na magari ya waaskari wapanda-farasi ya waadui zake yalikuwa yanamusonga sana.


yeye aliniuliza mimi ni nani, nami nikamwambia kwamba mimi ni Mwamaleki.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite