Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 1:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Daudi akamwuliza yule kijana: “Unajua namna gani kwamba Saulo na mwana wake Yonatani wamekufa?”

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 1:5
4 Referans Kwoze  

Mungu anatukuzwa kwa kuficha mambo, lakini wafalme wanatukuzwa kwa kuchunguza mambo.


Mujinga anaamini kila kitu anachoambiwa, lakini mwenye akili anachunguza hatua zake zote.


Daudi akamwambia: “Uniambie jinsi mambo yalivyokuwa kule.” Yule mutu akamujibu: “Watu wetu wameyakimbia mapigano na wengi kati yetu wameuawa. Zaidi ya hayo, Saulo na mwana wake Yonatani vile vile wameuawa.”


Yule kijana akamujibu: “Kwa bahati, nilikuwa juu ya mulima Gilboa. Nilimwona Saulo akiegemea mukuki wake na magari ya waaskari wapanda-farasi ya waadui zake yalikuwa yanamusonga sana.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite