Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




2 Samweli 1:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Jinsi gani mashujaa walivyoanguka, na silaha za vita zimeangamia.

Gade chapit la Kopi




2 Samweli 1:27
7 Referans Kwoze  

Jinsi gani mashujaa walivyoanguka katika vita. Yonatani analala, akiwa ameuawa kwenye milima.


Ewe Israeli, utukufu wako umeuawa, juu ya milima yako. Angalia jinsi mashujaa walivyoanguka!


Mukuje muone matendo ya Yawe. Muone maajabu aliyofanya katika dunia.


Nabii Elisha alipata ugonjwa ambao ulimwua. Alipokuwa karibu kufa, mufalme Yehoasi wa Israeli alimutembelea. Alipomufikia Elisha, akalia, akisema: “Baba yangu, baba yangu! Ulikuwa wa lazima kuliko magari ya Israeli na wapanda-farasi wake!”


Elisha alipoona tukio hilo, akalia: “Baba yangu, baba yangu! Ulikuwa wa lazima kuliko magari ya Israeli na wapanda-farasi wake!” Basi, Elisha hakumwona tena Elia. Halafu Elisha akashika nguo zake na kuzipasua vipande viwili.


Wanakuja kutoka inchi za mbali, wanatoka hata miisho ya dunia: Yawe na silaha za hasira yake anakuja kuiangamiza dunia.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite