Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Wakorinto 7:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Vilevile kama muke mwamini akiwa na mume asiyeamini, naye mume yule akikubali kuishi pamoja naye, asiachane na mume wake.

Gade chapit la Kopi




1 Wakorinto 7:13
3 Referans Kwoze  

Vile vile, kila muke anayemwacha mume wake na kuolewa na mwingine, anazini.”


Na kwa wengine, mimi ninawaambia maneno haya, lakini hayatoki kwa Bwana: kama mume mwamini akiwa na muke asiyeamini, naye muke yule akikubali kuishi pamoja naye, asimufukuze.


Kwa maana, mume asiyeamini anapata ushirika na Mungu kwa njia ya kuungana kwake na muke wake. Vilevile muke asiyeamini anapata ushirika na Mungu kwa njia ya kuungana kwake na mume wake. Kama isingekuwa vile, watoto wao wangehesabiwa kama watoto wa wapagani, lakini kwa hakika wao ni watu wa Mungu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite