Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Wakorinto 7:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Na kwa wengine, mimi ninawaambia maneno haya, lakini hayatoki kwa Bwana: kama mume mwamini akiwa na muke asiyeamini, naye muke yule akikubali kuishi pamoja naye, asimufukuze.

Gade chapit la Kopi




1 Wakorinto 7:12
8 Referans Kwoze  

Maneno haya ninayosema sasa hayafuatani na mapenzi ya Bwana, lakini ninayasema tu kama mupumbafu kuelekea jambo hili la kujivuna.


Maneno hayo ninayowaambia si amri, lakini ni ruhusa tu ninayowapa.


Kuelekea wale ambao hawajaoa wala kuolewa, sina neno la kuwaamuru kutoka kwa Bwana. Lakini nitawatolea shauri kufuatana na vile ninavyokuwa mutu anayestahili kuaminiwa, kutokana na neema niliyopewa na Bwana.


Lakini kama muke akiachana na mume wake, asiolewe tena, kama si vile apatane tena na mume wake. Vilevile mume hapaswi kufukuza muke wake.


Vilevile kama muke mwamini akiwa na mume asiyeamini, naye mume yule akikubali kuishi pamoja naye, asiachane na mume wake.


Ikiwa umekwisha kuoa, usitafute kuachana na muke wako.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite