Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Wakorinto 7:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Sasa tuangalie mambo yale muliyoniandikia. Ni vizuri mwanaume asioe.

Gade chapit la Kopi




1 Wakorinto 7:1
8 Referans Kwoze  

Na kwa wale wasiooa bado na wajane, ninawaambia kwamba ingekuwa vema waendelee kuishi peke yao kama vile mimi.


Basi, Mungu akamwambia katika hiyo ndoto: “Sawa. Ninajua kwamba umefanya hivyo kwa moyo safi. Mimi ndiye niliyekuzuia kutenda zambi mbele yangu. Ndiyo maana sikukuruhusu umuguse huyo mwanamuke.


Ndivyo mwanaume anayelala na muke wa mwenzake anavyokuwa; yeyote anayemugusa mwanamuke yule hataacha kuazibiwa.


Angalia pahali wanapovuna ufuate nyuma yao. Nimewaonya vijana hawa wasikusumbue. Na ukisikia kiu, kwenda kwenye mitungi na ukunywe maji vijana hao waliyoyateka.”


Lakini kwa ajili ya kuepuka uasherati inafaa kila mwanaume akuwe na muke wake wa pekee, na kila mwanamuke akuwe na mume wake wa pekee.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite