Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Wakorinto 6:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Kweli mambo haya ya kuwa na mashitaki kati yenu yanahakikisha kwamba mumeshindwa kabisa. Si ingekuwa vizuri zaidi kwenu kuvumilia ubaya? Si ingekuwa vizuri zaidi kunyanganywa mali zenu?

Gade chapit la Kopi




1 Wakorinto 6:7
12 Referans Kwoze  

Usiseme: “Nitalipiza ubaya niliotendewa.” Umutegemee Yawe naye atakusaidia.


Musirudishiane mabaya kwa mabaya au matusi kwa matusi, lakini muombeane baraka, kwa sababu Mungu aliahidi kuwabariki ninyi wakati alipowaita kumufuata.


Muangalie vema, hata mumoja wenu asimurudishie mwenzake ubaya kwa ubaya, lakini mutafutiane wema ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.


Kama mutu akikupiga kofi kwa shavu moja, umugeuzie lingine vilevile. Kama mutu akikunyanganya koti yako, umwachie shemizi yako vilevile.


Mioyo yao imejaa udanganyifu. Sasa ni lazima wabebe makosa yao. Yawe atabomoa mazabahu zao na kuziharibu nguzo zao.


utaelewa maana ya kumwogopa Yawe, utafahamu maana ya kumujua Mungu.


Lakini Zakayo akasimama mbele ya Bwana na kumwambia: “Bwana! Ninawapa masikini nusu ya mali zangu, na kama nimetwaa kitu cha mutu kwa kumudanganya, nitamurudishia mara ine sawa na kitu kile.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite