Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Wakorinto 6:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Basi ikiwa muna magomvi juu ya mambo ya namna hii, kwa nini munayapeleka mbele ya waamuzi wasiokuwa na madaraka katika kanisa?

Gade chapit la Kopi




1 Wakorinto 6:4
4 Referans Kwoze  

Basi si kazi yangu kuhukumu wale wanaokuwa wa inje ya kanisa. Mungu ndiye atakayewahukumu. Lakini ninyi hamupaswi kuhukumu watu wa kanisa lenu? Kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Mumwondoe mutu yule mubaya toka katikati yenu.”


Ninyi hamujui kwamba tutawahukumu wamalaika? Basi, ninyi munaweza kuhukumu zaidi mambo ya maisha haya!


Ninasema hivi kwa kuwapatisha haya. Hakika kati yenu hakuna hata mutu mumoja mwenye hekima anayeweza kukata maneno kati ya wandugu zake waamini?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite