1 Wakorinto 6:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Wamoja kati yenu wanasema: “Vitu vyote vinaruhusiwa kwangu.” Ndiyo, lakini vyote si vyenye kufaa kwenu. Ninaweza kusema kwamba vitu vyote vinaruhusiwa kwangu, lakini sitakubali kuwa mutumwa wa kitu chochote. Gade chapit la |