Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Wakorinto 5:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Hamuna kitu cha kujivunia! Hamujui vizuri mufano unaosema kwamba chachu kidogo inachachisha donge zima?

Gade chapit la Kopi




1 Wakorinto 5:6
12 Referans Kwoze  

Lakini sasa munajivuna na kujisifu. Majivuno yote ya namna hii ni mabaya.


“Chachu kidogo inachachisha donge zima.”


Musidanganyike: “Warafiki wabaya wanaharibu tabia nzuri za watu.”


Nanyi munajaa na kiburi. Ninyi mungepaswa kuhuzunika na mutu yule aliyefanya kile kitendo, naye angepaswa kutengwa toka katikati yenu.


Yesu akawaambia tena mufano mwingine, akisema: “Ufalme wa mbinguni unafanana na chachu mwanamuke mumoja aliyoitwaa na kuichanga na vipimo vitatu vya unga kwa kuponda mikate hata yote ikapata kuvimba.”


Maneno yao yanaambukiza kama vile kidonda chenye kuoza kinavyoharibu mwili wote. Kati yao kuna Himeneo na Fileto.


Basi mutu asijivune kwa ajili ya wanadamu. Kwa maana vitu vyote ni vyenu:


Unafanana na chachu mwanamuke mumoja aliyoitwaa na kuichanga na vipimo vitatu vya unga kwa kuponda mikate, hata yote ikapata kuvimba.”


Wote ni wazinzi; wao ni kama furu iliyowashwa moto ambayo mutengenezaji wa mikate haichochei tangia wakati anapoponda unga mpaka mikate itakapovimba.


Munajua hakika kwamba mukijitoa wenyewe kwa mutu fulani kuwa watumwa wake na kulazimishwa kumutii, munakuwa kweli watumwa wa yule munayemutii. Ikiwa ni utumwa wa zambi, mwisho wake ni kifo; ikiwa ni kumutii Mungu, mwisho wake ni maisha ya haki.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite