Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Wakorinto 4:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Kwa ngambo yangu, si neno hata kidogo kuhukumiwa nanyi au na tribinali ya watu. Na hata mimi mwenyewe sijihukumu.

Gade chapit la Kopi




1 Wakorinto 4:3
6 Referans Kwoze  

Mutu anayekuwa na Roho wa Mungu anahukumu mambo yote, lakini hakuna mutu anayeweza kumuhukumu.


Muache kuhukumu kufuatana na hali ya inje, lakini muhukumu kwa haki.”


Lakini hali ya kazi ya kila mutu itaonekana wazi, kwa sababu Siku ile ya hukumu itaionyesha waziwazi. Kwa maana Siku ile itajitokeza katikati ya moto, na moto ule ndio utakaopima na kuonyesha hali ya kazi ya kila mutu.


Lakini Yawe alimwambia: “Usiangalie sura yake wala urefu wake. Mimi nimemukataa maana siangalii mambo kama vile wanadamu wenye kufa wanavyoangalia. Mwanadamu anaangalia umbo la inje, lakini mimi ninaangalia ndani ya moyo.”


Yanayohitajika kwa mwenye madaraka kama hayo, ni kuwa mwaminifu.


Kweli zamiri yangu hainihukumu juu ya neno lolote, lakini hii si kusema kwamba mimi ni mwenye haki. Bwana ndiye anayenihukumu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite