Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Wakorinto 4:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Basi ninawasihi, mufuate mufano wangu.

Gade chapit la Kopi




1 Wakorinto 4:16
8 Referans Kwoze  

Tulifanya vile si kwa sababu hatukukuwa na haki ya kupokea musaada wenu, lakini kwa sababu tulitaka sisi wenyewe kuwa kwenu mufano wa kuiga.


Wandugu zangu, mufuate mufano wangu, muwaangalie vizuri wale wanaofuata mwenendo muliouona kwetu.


Mufuate mufano wangu kama vile mimi ninavyofuata mufano wa Kristo.


Ninyi mumefuata mufano wetu na mufano wa Bwana, kwa kuwa ingawa muliteswa sana, mulipokea neno la Mungu kwa furaha inayotoka kwa Roho Mutakatifu.


Muwakumbuke waongozi wenu waliowatangazia neno la Mungu. Muangalie vizuri namna walivyoishi na kufa. Mufuate imani yao.


Mushike mambo yote muliyojifunza na kupokea toka kwangu, nayo yote muliyosikia na kuona kwangu. Naye Mungu wa amani atakuwa pamoja nanyi.


Musitawale kwa kinguvu kundi lile lililowekwa chini ya uangalizi wenu, lakini mukuwe mifano kwao.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite