Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Wakorinto 2:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Ni nani anayejua mawazo ya Bwana? Ni nani anayeweza kumushauria?” Lakini sisi tuko na mawazo yanayotoka kwa Kristo.

Gade chapit la Kopi




1 Wakorinto 2:16
12 Referans Kwoze  

Kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Ni nani anayejua mafikiri ya Bwana? Ni nani anayeweza kuwa mushauri wake?


Siwaiti ninyi tena watumishi, kwa sababu mutumishi hajui mambo bwana wake anayofanya. Ninawaita ninyi warafiki kwa sababu nimewajulisha yote niliyosikia kutoka kwa Baba yangu.


Ulipata kuwa katika shauri la Mungu? Wewe ndiwe peke yako mwenye hekima?


Lakini ni nani kati ya manabii hao aliyehuzuria katika baraza la Yawe, hata akasikia na kuelewa neno lake? Au ni nani aliyejali neno lake, hata akalielewa?


Wewe mwenye kuchunguza makosa utashindana na Mungu Mwenye Uwezo? Wewe unayebishana nami Mungu, basi ujibu mambo hayo!


Mwanadamu anafaa kwa kitu chochote mbele ya Mungu? Kwa kweli mwenye hekima anajifaidia mwenyewe tu.


Inchi ikaotesha mimea inayozaa mbegu za aina yake, na miti inayozaa matunda yenye mbegu za aina yake. Mungu akaona kwamba ni vizuri.


Basi mutu mumoja anapewa na Roho uwezo wa kusema maneno ya hekima, na mwingine uwezo wa kusema maneno ya ufahamu na Roho yule yule.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite