Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Wakorinto 15:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Kwa maana, kama vile kifo kililetwa na mutu mumoja, vilevile ufufuko wa wafu unaletwa na mutu mumoja.

Gade chapit la Kopi




1 Wakorinto 15:21
4 Referans Kwoze  

Yesu akamwambia: “Mimi ni ufufuko na uzima, kwa maana anayeniamini, ataishi tena hata ikiwa amekufa.


Kama vile watu wote wanavyokufa kwa sababu ya kuungana kwao na Adamu, vilevile wote wataishi tena kwa sababu ya kuungana kwao na Kristo.


Kwa maana mushahara wa zambi ni kifo, lakini zawadi Mungu anayotoa ni uzima wa milele kwa kuungana na Yesu Kristo, Bwana wetu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite