12 Ikiwa tunahubiri kuwa Kristo amefufuka, namna gani basi wengine kati yenu wanasema kama wafu hawatafufuka?
Kwa sababu gani ninyi munazani kwamba haiwezekani kwa mutu kusadiki kwamba Mungu anawafufua wafu?
Nao waliposikia Paulo akisema juu ya ufufuko, wamoja wakamuchekelea na wengine wakasema: “Tutakusikiliza tena ukisema juu ya habari hii siku ingine.”
Hao wamepotoka mbali na ukweli, wamepotosha imani ya watu wengi wakisema kwamba ufufuko tunaongojea umekwisha kufanyika.
(Ilitokea vile kwa maana Wasadukayo wanasema kwamba wafu hawatafufuka na kwamba hakuna wamalaika, wala roho; lakini Wafarisayo wanakubali mambo hayo yote.)
awafariji na kuwaimarisha katika matendo na maneno yote mema.
Basi, ikiwa ni mimi au ikiwa ni wao, hii ndiyo habari tunayohubiri na ndiyo muliyoamini.