Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Wakorinto 12:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Kuna zawadi mbalimbali, lakini ni Roho mumoja anayezitoa.

Gade chapit la Kopi




1 Wakorinto 12:4
11 Referans Kwoze  

Kila mutu kati yenu anapaswa kuitumia zawadi ya kiroho aliyojaliwa na Mungu kwa ajili ya mafaa ya wengine. Na hivi mutakuwa walinzi wazuri wa zawadi mbalimbali mulizopewa na Mungu.


Vilevile Mungu ameweka kwanza mitume katika kanisa; pili manabii na tatu walimu; kisha kunakuwa wale wenye zawadi ya kufanya miujiza, ya kuponyesha wagonjwa, ya kusaidia wengine, ya kuongoza wengine, ya kusema luga za ajabu.


Mungu vilevile alihakikisha ushuhuda wao kwa njia ya maajabu, ya miujiza mbalimbali, na ya vitambulisho, na kwa njia ya zawadi za Roho Mutakatifu alizowapa watu kama anavyopenda.


Ni yeye ndiye aliwapatia watu zawadi za kipekee. Amewaweka wamoja kuwa mitume, wengine kuwa manabii, wengine kuwa watangazaji wa Habari Njema, wengine kuwa wachungaji na walimu.


na kumujaza Roho wangu. Nimemupatia ufahamu na akili, maarifa na ufundi,


Hakika, ningetamani watu wote wakuwe kama mimi, lakini kila mutu amepewa zawadi yake ya kipekee na Mungu, mumoja zawadi hii, na mwingine zawadi ile.


Sasa tuangalie mambo yanayoelekea zawadi za Roho Mutakatifu. Wandugu zangu, sitaki mukose kufahamu ukweli wa zawadi hizi.


Kuna utumishi wa namna mbalimbali, lakini ni Bwana mumoja ndiye wanayemutumikia.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite