Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Wakorinto 10:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Wote walikunywa kinywaji kimoja cha kiroho; kwa maana walikunywa maji yaliyotoka ndani ya lile jiwe lililosafiri pamoja nao, nalo jiwe lilikuwa Kristo.

Gade chapit la Kopi




1 Wakorinto 10:4
23 Referans Kwoze  

Angalia mimi nitasimama mbele yako juu ya jiwe la mulima wa Horebu, nawe utapiga lile jiwe na maji yatabubujika kutoka mule kusudi watu wote wapate kunywa.” Basi, Musa akafanya hivyo mbele ya wazee wa Waisraeli.


Siku ya mwisho ya sikukuu ile iliyokuwa siku kubwa, Yesu akasimama na kusema hivi kwa sauti: “Mutu akiwa na kiu, akuje kwangu akunywe.


Alipowaongoza katika jangwa hawakuona kiu, aliwatiririshia maji kutoka katika jiwe, alipasua jiwe maji yakabubujika.


lakini yeyote atakayekunywa maji yale nitakayomupa, hatasikia kiu tena hata kidogo. Maji nitakayomupa yatakuwa ndani yake kama chemichemi inayotiririka maji ya uzima wa milele.”


Alipasua jiwe maji yakabubujika; yakatiririka katika jangwa kama muto.


Ni kweli, alipiga jiwe, maji yakatiririka kama muto; lakini, sasa anaweza kweli kutupatia mukate, na kuwapatia watu wake nyama?”


Alipasua mawe kule katika jangwa, akawakunywesha maji kutoka shimo refu.


Kisha Musa akainua mukono wake, akapiga lile jiwe mara mbili kwa fimbo yake. Maji yakabubujika kwa wingi, watu wakakunywa pamoja na mifugo yao.


Yesu akamujibu: “Kama ungejua kitu Mungu anachoweza kukupatia, na ni nani anayekuomba maji ya kunywa, wewe ndiwe ungemwomba, naye angekupa maji ya uzima.”


Nyama wa pori wataniheshimu, mbweha na mbuni, maana nitaweka maji katika mbuga, na kububujisha mito katika jangwa, kwa kuwakunywesha watu wangu niliojichagulia,


Mambo hayo yote ni kivuli cha mambo yatakayokuja, lakini ukweli wa mambo yote ni Kristo mwenyewe.


Roho na Bibi arusi wanasema: “Kuja!” Naye mwenye kusikia maneno haya aseme vilevile: “Kuja!” Yule anayesikia kiu akuje, na yule anayetaka maji ya uzima akuje kuyapokea kwa bure.


Sheria ya Kiyuda ni mufano wa mema yatakayotokea, lakini si kitambulisho kinachoonyesha mambo yale kamili. Kwa sababu hii Sheria haiwezi hata mara moja, kwa njia ya sadaka zinazotolewa mara nyingi kila mwaka, kuwafanya wakamilifu wale wanaomwendea Mungu.


Kile kitu kiovu, ni kusema yule mwana-ngombe muliyejitengenezea, nilikitwaa, nikakiteketeza ndani ya moto, nikakipondaponda na kukisagasaga, kikakuwa mavumbi laini. Halafu nikayatupa hayo mavumbi kwenye kijito kilichotiririka chini ya mulima huo.


Hagari analinganishwa na mulima Sinai wa inchi ya Arabia, na ni mufano wa Yerusalema ya sasa, unaokuwa katika utumwa pamoja na wakaaji wake.


Amekupa mamlaka juu ya wanadamu wote, nyama wa pori na ndege wote, popote kule wanapokuwa. Wewe ndiwe kile kichwa cha zahabu!


Ngombe wale saba wazuri ni miaka saba, na yale masuke saba mazuri vilevile ni miaka saba. Ndoto hiyo tafsiri yake ni moja.


Yosefu akamwambia yule mutumishi: “Tafsiri ya ndoto yako ni hii: yale matawi matatu ni siku tatu.


Nyama hao wane wakubwa ni wafalme wane watakaotokea katika dunia.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite