2 Wote walibatizwa katika lile wingu na katika ile bahari kusudi wapate kuungana na Musa.
Munajua hakika kwamba sisi wote tulipobatizwa tuliungana na Yesu Kristo; kwa njia hiyo tuliungana naye katika kufa.
Waisraeli walipoona tendo hilo la ajabu Yawe alilofanya mbele ya Wamisri, wakamwogopa. Wakamwamini Yawe na Musa mutumishi wake.
Hivi, ninyi wote mulioungana na Yesu Kristo, kwa njia ya kubatizwa, ni kama vile mumevaa Kristo.
Waliungama zambi zao, naye Yoane aliwabatiza katika muto Yordani.