1 Wakorinto 10:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Musinungunike kama vile wamoja kati yao walivyofanya hata malaika mwangamizaji akawateketeza. Gade chapit la |
Lakini wakati malaika aliponyoosha mukono wake kuelekea Yerusalema kwa kuuangamiza, Yawe alibadilisha nia yake. Yawe akamwambia yule malaika aliyetimiza maangamizi kwa watu: “Basi! Inatosha; rudisha mukono wako.” Malaika wa Yawe alikuwa amesimama karibu na kiwanja cha kupepetea ngano cha Arauna wa muji wa Yebusi.