1 Wakorinto 1:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200221 Mungu alikusudia kuwaokoa wale wanaomwamini kwa njia ya mahubiri tunayotangaza yanayoonekana kuwa mambo ya upumbafu. Amefanya vile kwa sababu, kwa njia ya hekima yao ya kimutu, watu hawakumutambua Mungu na hekima yake ya kimungu. Gade chapit la |