Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Wakorinto 1:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Hivi hakuna anayeweza kusema kwamba amebatizwa kwa jina langu.

Gade chapit la Kopi




1 Wakorinto 1:15
7 Referans Kwoze  

Mimi ninasikia wivu kwa ajili yenu sawa vile Mungu anavyousikia vilevile. Kwa maana ninyi ni kama binti mukamilifu niliyemwowesha kwa mume mumoja, ndiye Kristo.


Mutu anayesema kwa mamlaka yake mwenyewe, anajitafutia sifa yake mwenyewe. Lakini yeye anayetafuta sifa ya yule aliyemutuma, huyu ni mwenye ukweli wala hana ubaya wowote.


Waliungama zambi zao, naye Yoane aliwabatiza katika muto Yordani.


Basi muwaendee watu wa mataifa yote kusudi wapate kuwa wanafunzi wangu, mukiwabatiza kwa jina la Baba, la Mwana na la Roho Mutakatifu.


Ninamushukuru Mungu kuwa sikubatiza hata mumoja wenu isipokuwa Krispo na Gayo.


Ni kweli, nilibatiza vilevile jamaa ya Stefano, zaidi ya wale sikumbuki kama nilibatiza mutu mwingine.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite