32 Kisha mufalme Daudi akasema: “Uniitie kuhani Zadoki, nabii Natani na Benaya mwana wa Yehoyada.” Nao wakafika kwa mufalme.
Lakini kuhani Zadoki, Benaya mwana wa Yehoyada, nabii Natani na Simei, na Rei pamoja na walinzi wa Daudi, hawakumwunga Adonia mukono.
Basi, kuhani Zadoki, nabii Natani na Benaya mwana wa Yehoyada, na Wakereti na Wapeleti, wote walishuka, wakamupandisha Solomono kwenye nyumbu wa mufalme Daudi, na kumupeleka mpaka Gihoni.
Lakini hakunialika mimi mutumishi wako wala kuhani Zadoki wala Benaya mwana wa Yehoyada wala mutumishi wako Solomono.
Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa kiongozi wa Wakereti na Wapeleti. Wana wa Daudi wakakuwa makuhani.