Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Wafalme 1:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Na kama sivyo, itatokea kwamba, wakati wewe bwana wangu mufalme utakapokufa, mimi pamoja na mwana wangu Solomono tutahesabiwa kama wenye kosa.”

Gade chapit la Kopi




1 Wafalme 1:21
11 Referans Kwoze  

Daudi akakufa na kuzikwa katika muji wake.


Yawe akamwambia Musa: “Umekaribia sasa kuaga dunia, na kisha kufa kwako, watu wataanza kuniacha na kuendea miungu mingine ya inchi hiyo ambamo watakwenda kuishi. Wataniacha na kuvunja agano nililoagana nao.


Adonia akamwambia: “Unajua kwamba ni mimi ndiye ningalikuwa mufalme, na hata Israeli yote ilikuwa inanitazamia nikuwe mufalme. Lakini, mambo yakageuka na ndugu yangu akanipindua, kwa sababu hayo ndiyo yaliyokuwa mapenzi ya Yawe.


“Siku zako zitakapotimia na utakapokufa na kujiunga na babu zako, nitamufanya mumoja wa watoto wako wewe mwenyewe akuwe mufalme, nami nitauimarisha ufalme wake.


Lakini wewe mwenyewe utaishi maisha marefu na kufa kwa amani.


Na sasa, bwana wangu mufalme, Waisraeli wote wanakungojea, kusudi uwaambie yule atakayeikaa juu ya kiti chako nyuma yako, bwana wangu mufalme.


Wakati Batiseba alipokuwa akizungumuza na mufalme, nabii Natani aliingia katika nyumba ya kifalme.


Akafuatana nao kwenda Ofura kwa baba yake naye akawaua wandugu zake wote makumi saba juu ya jiwe moja. Lakini Yotamu, mwana mudogo wa Yerubali aliponyoka kufa, maana alijificha.


Basi, kama ukitaka kuyaokoa maisha yako na ya mwana wako Solomono, ninakushauria hivi:


Lakini wakati Atalia mama ya Ahazia alipoona kwamba mwana wake ameuawa, alitoka akaangamiza jamii yote ya kifalme ya Yuda.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite