Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Timoteo 4:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Hayo ndiyo maneno unayopaswa kuagiza na kufundisha.

Gade chapit la Kopi




1 Timoteo 4:11
5 Referans Kwoze  

Na wale wanaokuwa na wabwana waamini, wasiwakosee heshima kwa sababu wao ni wandugu. Wanapaswa kuwatumikia vizuri zaidi, kwa maana wao ni wandugu waamini na wapendwa, nao wanashiriki faida ya kazi yao. Hayo ndiyo maneno unayopaswa kufundisha na kuhubiri.


Hayo ndiyo maneno unayopaswa kuwaagiza wajane kusudi wasikuwe na mashitaki.


Haya ndiyo maneno unayopaswa kufundisha, ukiwaonya watu na kuwakaripia kwa mamlaka yote. Usijiachilie kuzarauliwa na mutu yeyote.


Neno hilo ni la kuaminiwa. Ninataka uyatilie maneno hayo mukazo, kusudi watu walioamini Mungu wajitolee kwa kuzidi kutenda mema. Jambo hilo ni zuri na lenye mafaa kwa watu.


utangaze Neno la Mungu kwa nguvu kwa wakati unaofaa na kwa wakati usiofaa. Ukaripe, usahihishe na kuonya ukifundisha kwa uvumilivu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite