Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Timoteo 2:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Wanawake wanapaswa kusikiliza mafundisho katika ukimya na utii kabisa.

Gade chapit la Kopi




1 Timoteo 2:11
10 Referans Kwoze  

Lakini ninataka mufahamu maneno haya: Kristo ni kichwa cha kila mwanaume, na mwanaume ni kichwa cha muke wake, na Mungu ni kichwa cha Kristo.


Ninyi wake, muwatii waume wenu, kusudi kukiwa wamoja kati yao wasioamini neno la Mungu, mupate kuwavuta kwa kulisadiki kwa mwenendo wenu muzuri pasipo kuwaambia neno.


na kuwa wenye utaratibu, wenye maisha safi, wenye kutunza nyumba zao vizuri, wema na wenye kutii waume wao, kusudi Neno la Mungu lisitukaniwe.


Wake muwatii waume wenu kama vile inavyostahili mbele ya Bwana.


Kisha akamwambia mwanamuke: “Nitakuzidishia uchungu wa kuzaa, Utazaa watoto kwa uchungu. Utakuwa na hamu na mume wako, naye atakutawala.”


Amri hiyo itakapotangazwa katika eneo lote la utawala wako, kila mwanamuke atamuheshimu mume wake, akuwe tajiri au masikini.”


Lakini kujipamba kwao kuwe matendo mema yanayostahili kutendwa na wanawake wanaojidai kwamba wanajitoa kwa kumwabudu Mungu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite