8 Yule mutumishi akamujibu Saulo: “Ona, mimi nina vikoroti vine vya shekeli. Nitamupa huyo mutu wa Mungu kusudi atuambie juu ya safari yetu.”
Yule mutumishi akamwambia: “Ngoja kidogo. Katika muji huu kuna mutu wa Mungu ambaye anaheshimiwa sana. Kila neno analosema linakuwa kweli. Sasa tumwendee. Labda anaweza kutuambia jinsi safari yetu itakavyokuwa.”
Halafu mufalme akamwambia mutu wa Mungu: “Karibu katika nyumba yangu kula chakula, nami nikupe zawadi.”
Umupelekee mikate kumi, na maandazi, na chupa moja ya asali. Yeye atakuambia yatakayomupata mutoto wetu.”