Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 9:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Hivyo Saulo na mutumishi wake walikwenda katika muji. Walipokuwa wanaingia katika muji, walimwona Samweli akitoka katika muji, na anaelekea kwenda kwenye nafasi ya kuabudia.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 9:14
2 Referans Kwoze  

Mara moja mutakapoingia katika muji, mutamukuta mbele hajakwenda kwenye nafasi ya ibada kwenye mulima kwa kula. Maana watu hawatakula mpaka kwanza yeye abariki sadaka. Kisha wale walioalikwa watakula. Hivyo muende haraka; mutakutana naye sasa hivi.”


Jana yake, mbele ya Saulo kufika katika muji pale, Yawe alikuwa amemwambia Samweli hivi:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite