Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 9:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Mara moja mutakapoingia katika muji, mutamukuta mbele hajakwenda kwenye nafasi ya ibada kwenye mulima kwa kula. Maana watu hawatakula mpaka kwanza yeye abariki sadaka. Kisha wale walioalikwa watakula. Hivyo muende haraka; mutakutana naye sasa hivi.”

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 9:13
12 Referans Kwoze  

Kisha Yesu akatwaa ile mikate, akamushukuru Mungu na kuigawanya kwa watu walioikaa pale. Akawapa samaki vilevile kwa kadiri walivyotaka.


Kila kitu Mungu alichokiumba ni kizuri, wala hakuna kile kinachopaswa kukataliwa, lakini inafaa kumushukuru Mungu mbele ya kukikula.


Kama ninamushukuru Mungu kwa ajili ya chakula ninachokula, kwa nini wananiteta juu ya chakula ambacho kwa ajili yake ninamutolea Mungu shukrani?”


Na vilevile vyombo vingine vilivyotoka katika muji Tiberia vilifika karibu na pahali pale walipokula mikate, Bwana alipokuwa amekwisha kushukuru Mungu.


Alipokuwa akiikaa kula chakula pamoja nao, akatwaa mukate na kuubariki. Kisha akaumega na kuwapatia.


Kisha Yesu akatwaa ile mikate mitano na samaki mbili, akainua macho mbinguni, akamushukuru Mungu. Akamega ile mikate, akawapa wanafunzi wake pamoja na zile samaki mbili kusudi waigawanyie watu wote.


Walipokuwa wakikula, Yesu akatwaa mukate, akaubariki, kisha akaumega na kuwapa wanafunzi wake, akisema: “Mutwae na mukule, huu ni mwili wangu.”


Kisha kuwaamuru watu waikae juu ya majani, Yesu akatwaa ile mikate mitano na samaki mbili, akainua macho mbinguni, akamushukuru Mungu. Akamega ile mikate, akawapa wanafunzi wake, nao wakaigawanya kwa kundi la watu.


Kisha Yesu akatwaa ile mikate mitano na samaki mbili, akainua macho mbinguni, akamushukuru Mungu. Halafu akaimega, akawapa wanafunzi waigawanyie watu.


Kisha, nitajiinulia kuhani mwingine mwaminifu atakayefanya kulingana na yale yanayokuwa ndani ya moyo na akili yangu. Nitamujengea ukoo imara, naye atatumika siku zote mbele ya mufalme wangu muchaguliwa.


Hivyo Saulo na mutumishi wake walikwenda katika muji. Walipokuwa wanaingia katika muji, walimwona Samweli akitoka katika muji, na anaelekea kwenda kwenye nafasi ya kuabudia.


Abusaloma alipokwenda kule Hebroni, alikwenda na watu mia mbili aliowaalika kutoka Yerusalema, nao walikwenda kule kwa nia njema, wala hawakujua kitu chochote juu ya mupango wa Abusaloma.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite