Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 6:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Kisha, wakaaji wa muji wa Beti-Semesi wakasema: “Nani anayeweza kusimama mbele ya Yawe, huyu Mungu mutakatifu? Atakwenda kwa nani kusudi aondoke kwetu?”

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 6:20
13 Referans Kwoze  

Lakini ni nani atakayevumilia siku ile atakapokuja? Ni nani atakayesimama kuvumilia atakapotokea? Yeye ni kama moto mukali unaosafisha chuma; ni kama sabuni ya mwenye kufua nguo.


Siku hiyo Daudi alimwogopa Yawe akasema: “Sasa Sanduku la Yawe litanifikia namna gani?”


Kwa maana siku kubwa ya kasirani yao imekuja. Ni nani atakayeweza kusimama imara?”


Halafu watu wote wa inchi ya Wagerasi wakashikwa na woga mukubwa, kwa hiyo wakamwomba Yesu aondoke kwao. Basi Yesu akaingia ndani ya chombo, kusudi apate kuondoka kule.


Simoni Petro alipoona mambo hayo, akapiga magoti mbele ya Yesu na kusema: “Bwana, utoke karibu nami, kwa sababu mimi ni mutu mwenye zambi!”


Ulipowakaripia, ee Mungu wa Yakobo, farasi na wapanda-farasi walipooza.


Halafu, hasira ya Yawe ikawaka juu ya Uza. Mungu akamwua palepale. Uza akakufa palepale pembeni ya Sanduku la Mungu.


Kwa sababu ni mimi Yawe niliyewatoa katika inchi ya Misri kusudi nikuwe Mungu wenu; kwa hiyo mukuwe watakatifu kwa maana mimi ni mutakatifu.


Kwa sababu mimi ni Yawe, Mungu wenu, mujitakase na kuwa watakatifu kwa maana mimi ni mutakatifu. Wala musijichafue na kitu chochote kinachotambaa juu ya inchi.


Wakaaji wa Asidodi walipoyaona mambo yaliyowapata, wakasema: “Mungu wa Israeli anatuazibu vikali sisi pamoja na mungu wetu Dagoni. Sanduku la Agano la Yawe haliwezi kukaa kwetu.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite