Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 6:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Walawi walikuwa wameliteremusha Sanduku la Yawe na kile kibweta chenye sanamu za zahabu na kuziweka kwenye lile jiwe kubwa. Basi, siku hiyo watu wa Beti-Semesi walitoa sadaka za kuteketezwa, na kumutolea Yawe sadaka.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 6:15
3 Referans Kwoze  

wakawaambia watu: “Mutakapoliona Sanduku la Agano la Yawe, Mungu wenu, limebebwa na makuhani Walawi, mutaondoka na kulifuata;


ambako ulipinda upande wa magaribi kuelekea Seiri; ukapita kaskazini ya mulima wa Yerimu, ni kusema Kesaloni, na kuteremuka mpaka Beti-Semesi ambapo ulipita karibu na Timuna.


Walipeleka vilevile sanamu za zahabu za panya kulingana na hesabu ya miji yote ya Wafilistini iliyotawaliwa na wakubwa watano wa Wafilistini. Miji hiyo ilikuwa yenye kuzungukwa na kuta na vijiji ambavyo havikuzungushiwa kuta. Lile jiwe kubwa kwenye shamba la Yoshua wa Beti-Semesi, pahali ambapo walilipeleka Sanduku la Yawe, ni ushuhuda wa tukio hilo mpaka leo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite