Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 6:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Lile Sanduku la Yawe wakalitia kwenye gari hilo pamoja na kile kibweta chenye kuwa na sanamu za zahabu za panya na zile za majipu.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 6:11
7 Referans Kwoze  

Basi, wakalitwaa Sanduku la Agano kutoka katika nyumba ya Abinadabu wakilibeba juu ya gari jipya. Uza na Ahio wakaongoza gari lile.


Basi, wakaondoa Sanduku la Mungu kutoka katika nyumba ya Abinadabu iliyokuwa juu ya mulima, wakalibeba juu ya gari jipya. Wana wa Abinadabu, Uza na Ahio, wakaongoza gari lile jipya,


Yawe atawapiga kwa majipu yaliyowapata Wamisri, atawapa vidonda, upele na kuwashwa ambavyo hamuwezi kuponywa.


Watu wakauliza: “Tutamutolea nini kwa malipo ya makosa?” Wao wakawajibu: “Sanamu tano za zahabu mufano wa majipu, na sanamu tano za zahabu mufano wa panya, kufuatana na hesabu ya wakubwa wa Wafilistini, maana kulikuwa pigo moja tu, kwa ninyi wote na kwa wakubwa wenu.


Walifanya kama walivyoambiwa; walitwaa ngombe wawili wenye kunyonyesha na kuwafunga kwenye gari, na vitoto vyao wakavifunga katika zizi.


Wale ngombe walikwenda moja kwa moja kuelekea muji wa Beti-Semesi bila kupinda kushoto au kuume, walikuwa wanalia walipokuwa wanakwenda. Wale wafalme watano wa Wafilistini waliwafuata mpaka kwenye mupaka wa Beti-Semesi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite